Harakati za Qur'ani nchini Iran
TEHRAN (IQNA) - Kamanda mwandamizi wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameesema kumekuwa na ustawi mkubwa katika kutoa mafunzo kwa wanaohifadhi Qur'ani Tukufu katika majeshi ya Iran
Habari ID: 3476308 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26
TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiisamu ya Iran vilitoa taarifa na kuonya kwamba: Kuundwa miungano ya urongo kwa uongozi wa Marekani kwa kizingizio eti cha kusimamia usalama wa meli ni hatua ya hatari na wakati huo huo inavuruga amani na usalama wa eneo.
Habari ID: 3472712 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28